Collector
Vifo ajali ya basi la Shabiby, lori Iringa vyafikia sita | Collector
Vifo ajali ya basi la Shabiby, lori Iringa vyafikia sita
Mwananchi

Vifo ajali ya basi la Shabiby, lori Iringa vyafikia sita

Idadi ya watu waliofariki dunia kufuatia ajali iliyohusisha basi la Shabiby na lori mkoani Iringa imeongezeka kutoka watano hadi sita baada ya mmoja wa majeruhi kufariki dunia akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Muhimbili.

Go to News Site