Collector
Rais Samia aagiza mpango maalum wa kuwainua wafungwa wenye ujuzi | Collector
Rais Samia aagiza mpango maalum wa kuwainua wafungwa wenye ujuzi
bongo5.com

Rais Samia aagiza mpango maalum wa kuwainua wafungwa wenye ujuzi

Rais Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Magereza kufanya tafiti za kina zitakazowezesha kuanzishwa kwa mfuko maalumu wa kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanaporejea uraiani, ili waweze kujitegemea kiuchumi na kuepuka kurejea katika makosa ya uhalifu. Amesema hatua hiyo ni sehemu ya kuimarisha mfumo wa urekebishaji nchini kwa kuhakikisha wafungwa wanaopata mafunzo ya ufundi na stadi …

Go to News Site