Ubovu wa barabara Kimanga, daladala zatishia kusitisha huduma | Collector
Mwananchi
Ubovu wa barabara Kimanga, daladala zatishia kusitisha huduma
Wakazi wa Kimanga, Dar es Salaam, wataanza kukumbana na adha ya usafiri kuanzia kesho baada ya wamiliki wa daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo kutishia kuanza kugoma.