Mwananchi
Wakati fedha kidogo zikitengwa kwa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, wachambuzi wa kisiasa na uchumi wametoa tahadhari kuwa bajeti tegemezi inakwamisha utekelezaji wa majukumu makuu ya Taifa, wakishauri Serikali kuanza kutegemea vyanzo vyake vya mapato badala ya wafadhili.
Go to News Site