Waziri ndejembi aagiza ukaguzi maalumu mradi wa umeme Malagarasi Kigoma
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema hajaridhishwa na mwenendo wa utekelezaji wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Megawati 49.5 katika maporomoko ya Mto Malagarasi mkoani Kigoma.