Tukay wa UDSM aibuka kinara wa andiko la suluhu ya foleni | Collector
Mwananchi
Tukay wa UDSM aibuka kinara wa andiko la suluhu ya foleni
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Tukay Thomas, ameibuka mshindi wa shindano la andiko la ubunifu la kutafuta suluhu ya msongamano wa magari mijini, na kuzawadiwa Sh10 milioni.