Mwananchi
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, Danstan Kyobya amewataka viongozi wa vyama vya msingi katika bonde la mto Kilombero, kuhakikisha mizani mpya za kidijitali zinatumika kwa usahihi ili kuepuka udanganyifu.
Go to News Site