Wananchi waiangukia Serikali nauli mpya za boti zikianza kutumika leo | Collector
Mwananchi
Wananchi waiangukia Serikali nauli mpya za boti zikianza kutumika leo
Wakati bei mpya za tiketi za boti zilizotangazwa na Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar (ZMA) zikianza kutumia leo, wananchi wameendelea kuiangukia Serikali kuwapunguzia gharama hizo ili kuwapa ahueni.