HabariLeo
DAR ES SALAAM: Katika maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani, Mkurugenzi wa wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPC) David Kafulila amesema kuwa ubora wa rasilimali watu, hasa afya na maarifa, ndio sarafu kuu ya dunia ya sasa na ndiyo njia pekee ya Tanzania kujiunga na nchi zenye uchumi wa … The post Kafulila azungumzia sekta ya afya first appeared on HabariLeo .
Go to News Site