Mwananchi
Upande wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili washtakiwa tisa wanaokabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia zaidi ya Sh5.7 bilioni, umeiambia Mahakama kuwa mchakato wa majadiliano dhidi ya washtakiwa hao, bado unaendelea.
Go to News Site