Collector
Rais Mwinyi akemea makundi ndani ya CCM | Collector
Rais Mwinyi akemea makundi ndani ya CCM
Mwananchi

Rais Mwinyi akemea makundi ndani ya CCM

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesisitiza umoja ndani ya chama hicho na kuvunja makundi yaliyokuwepo kipindi cha uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, akisema yanapaswa kufutwa baada ya uchaguzi.

Go to News Site