Mwananchi
Kufuatia ukaguzi uliofanywa kwa wamiliki wa leseni wanaofanya uchimbaji kwenye mto na kuathiri mazingira, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameagiza kusimamishwa kwa shughuli za uchimbaji madini kwenye mito ya Mtisi na Ibindi mkoani Katavi.
Go to News Site