Wenyeviti mikoa 11 ACT Wazalendo Zanzibar waunga mkono maazimio ya kamati kuu | Collector
Mwananchi
Wenyeviti mikoa 11 ACT Wazalendo Zanzibar waunga mkono maazimio ya kamati kuu
Wenyeviti wa Mikoa 11 wa Chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar wameunga mkono maazimio ya kamati kuu ya chama hicho juu ya taarifa ya Tume ya Jaji Chande ya kuchunguza matukio ya vurugu ya Oktoba 29, 2025.