Collector
Wanne wapandikizwa figo kwa tundu dogo Muhimbili | Collector
Wanne wapandikizwa figo kwa tundu dogo Muhimbili
Mwananchi

Wanne wapandikizwa figo kwa tundu dogo Muhimbili

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeandika historia mpya katika huduma za afya nchini baada ya madaktari bingwa wa hospitali hiyo kufanikiwa kufanya upandikizaji wa figo kwa wagonjwa wanne kwa kutumia teknolojia ya upasuaji wa njia ya tundu dogo, maarufu laparoscopic surgery.

Go to News Site