Vifo vya Ebola vyafikia 131, maambukizi yakishika kasi | Collector
Mwananchi
Vifo vya Ebola vyafikia 131, maambukizi yakishika kasi
Shirika la Afya Duniani (WHO) tayari limetangaza mlipuko huo wa Ebola unaosababishwa na kirusi cha aina ya Bundibugyo kuwa ni dharura ya afya ya umma ya kimataifa.