Mfanyabiashara kortini akidaiwa kujipatia Sh120 milioni kwa udanganyifu | Collector
Mwananchi
Mfanyabiashara kortini akidaiwa kujipatia Sh120 milioni kwa udanganyifu
Mfanyabiashara, Abdul Razak Ahmed (37) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kujipatia Sh120 milioni kwa njia ya udanganyifu.