Collector
Rais Faye wa Senegal amtumbua Waziri Mkuu | Collector
Rais Faye wa Senegal amtumbua Waziri Mkuu
Mwananchi

Rais Faye wa Senegal amtumbua Waziri Mkuu

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la RFI, hatua hiyo ya kuvunjwa kwa Serikali imekuja saa chache baada ya Sonko kuonekana mbele ya Bunge la taifa akijibu maswali ya wabunge, ambapo alisisitiza msimamo wake kuhusu uongozi na kutofautiana kimtazamo na Rais Faye.

Go to News Site