Mwili wa mtoto wakutwa ukielea mtoni ukiwa umeharibika | Collector
Mwananchi
Mwili wa mtoto wakutwa ukielea mtoni ukiwa umeharibika
Mwili wa mtoto wa kike anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 13 hadi 15 umeokotwa ukiwa unaelea kwenye maji ya Mto Mori, eneo la Kata ya Nyakonga, Wilaya ya Tarime mkoani Mara.