Rais Mwinyi ayaonya mashirika ya umma ‘mzigo’ | Collector
Mwananchi
Rais Mwinyi ayaonya mashirika ya umma ‘mzigo’
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali haitakuwa tayari kuendelea kubeba mashirika ya umma yanayoshindwa kujiendesha na kuendelea kutegemea ruzuku kutoka serikalini.