Mwananchi
Asilimia 70 ya wagonjwa wanaohitaji huduma za matibabu ya moyo kutoka Kanda ya Kaskazini wanashindwa kufika katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutokana na changamoto za gharama za usafiri na malazi, hali inayochangia wagonjwa wengi kushindwa kupata matibabu kwa wakati.
Go to News Site