Collector
Wananchi Mtwara wamkataa mwekezaji, wahofia kuhatarisha shughuli za uvuvi | Collector
Wananchi Mtwara wamkataa mwekezaji, wahofia kuhatarisha shughuli za uvuvi
Mwananchi

Wananchi Mtwara wamkataa mwekezaji, wahofia kuhatarisha shughuli za uvuvi

Hali ya tahadhari, hofu na maswali yasiyo na majibu ndiyo inayotawala katika vijiji vya Mnazi, Milamba na Nalingu vilivyopo Kata ya Nalingu, Wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara, kufuatia kuibuka kwa mwekezaji wa kigeni mwenye asili ya China anayetarajia kuanzisha shughuli za kilimo cha mwani katika eneo hilo.

Go to News Site