Kenani kuanza ziara Kaskazini, CCM Kilimanjaro yaeleza sababu ya kurejea baada ya miaka 25 | Collector
Mwananchi
Kenani kuanza ziara Kaskazini, CCM Kilimanjaro yaeleza sababu ya kurejea baada ya miaka 25
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimejipanga kuendelea kuhudumia wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro kupitia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na kusikiliza kero zao.