Zaidi ya Sh1.3 bilioni zatolewa kuwawezesha vijana kufuga samaki Mara | Collector
Mwananchi
Zaidi ya Sh1.3 bilioni zatolewa kuwawezesha vijana kufuga samaki Mara
Serikali imetoa zaidi ya Sh1.3 bilioni kwa ajili ya kuwawezesha vijana zaidi ya 40 kuanzisha miradi ya ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndani ya Ziwa Victoria katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara.