Collector
78 wakamatwa kwa uhalifu Shinyanga | Collector
78 wakamatwa kwa uhalifu Shinyanga
Mwananchi

78 wakamatwa kwa uhalifu Shinyanga

Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga, limekamata watuhumiwa 78 kwa makosa mbalimbali pamoja na silaha moja aina ya bastola ikiwa na risasi 11, iliyoripotiwa kuibiwa Mei 10, 2026 katika mtaa wa Nyakato wilayani Kahama.

Go to News Site