Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCL, Leonard Mususa afariki dunia | Collector
Mwananchi
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCL, Leonard Mususa afariki dunia
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Leonard Charles Mususa amefariki dunia leo Jumamosi, Mei 30, 2026.