Zanzibar kununua meli mbili za uvuvi bahari kuu | Collector
Mwananchi
Zanzibar kununua meli mbili za uvuvi bahari kuu
Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi imeainisha vipaumbele vinne, kuimarisha uvuvi wa bahari kuu, kununua meli kubwa za uvuvi na ujenzi wa viwanda vya kuchakata samaki.