Mwananchi
Akizungumza na vyombo vya habari, Profesa Kitila amezitaja sekta za kipaumbele ni pamoja na kilimo, viwanda na ujenzi, madini na nishati, utalii, michezo na sanaa, ubunifu na maudhui ya kidijitali na miliki, ardhi na maendeleo ya miji.
Go to News Site