Collector
Wananchi waomba zahanati Masakta ipandishwe hadhi, Kihongosi atoa neno | Collector
Wananchi waomba zahanati Masakta ipandishwe hadhi, Kihongosi atoa neno
Mwananchi

Wananchi waomba zahanati Masakta ipandishwe hadhi, Kihongosi atoa neno

Wananchi wa Kijiji cha Masakta, Kata ya Masakta wilayani Hanang, mkoani Manyara, wameiomba Serikali kupandisha hadhi Zahanati ya Masakta na kuiboresha kwa kuongeza watumishi pamoja na huduma muhimu za matibabu ili kuboresha huduma za afya kwa wakazi wa eneo hilo.

Go to News Site