Radio Jambo
Askari Polisi alianguka na kufariki dunia muda mfupi baada ya kushiriki gwaride la Siku ya Madaraka katika Kaunti Ndogo ya Wajir Mashariki, Kaunti ya Wajir. Tathmini ya awali ya kitabibu ilionyesha kuwa askari huyo alifariki kutokana na mshtuko wa moyo #KituoChaWakenya
Go to News Site