Collector
Huyu hapa mrithi wa Lukuvi Ismani | Collector
Huyu hapa mrithi wa Lukuvi Ismani
Mwananchi

Huyu hapa mrithi wa Lukuvi Ismani

Mgombea wa ubunge wa Jimbo la Ismani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Emmanuela Mtatifikolo ameibuka mshindi baada ya kupata kura 70,905 kati ya kura halali 75,874 zilizopigwa katika uchaguzi wa jimbo hilo.

Go to News Site