Mwananchi
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeliondoa rasmi mahakamani shauri la maombi lililokuwa limefunguliwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akiomba kuunganishwa katika kesi ya madai iliyokuwa inakikabili chama hicho.
Go to News Site