Mwananchi
Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki (Kakama) imeeleza mkakati wake wa kukuza Kiswahili kwa nchi wanachama na duniani kupitia Kongamano la 3 la Kimataifa la Kiswahili pamoja na maadhimisho ya tano ya Siku ya Kiswahili Duniani (Masikidu) ambayo yatafanyika Julai 5 hadi 7 Julai 2026 jijini Bujumbura, Burundi, huku ujumbe wa maadhimisho hayo ukilenga mjadala wa nafasi ya Kiswahili katika ulimwengu wa teknolojia na masuala ya akiliunde.
Go to News Site