Radio Jambo
Leo kwenye #Ilikuaje Tumekuwa naye Josephine ambaye amepitia kipindi kigumu baada ya kupata mtoto Ila akaaga,akatolewa mfuko wa uzazi(Uterus) na Baada ya hapo akapata ajali akavunjika mgongo, mguu na mbavu mbili Ila kwa neema ya Mungu alinusurika. #JamboMassawe #KituoChaWakenya
Go to News Site