Collector
Mawaziri wa afya wa EAC wakubaliana hatua za haraka kuikabili Ebola | Collector
Mawaziri wa afya wa EAC wakubaliana hatua za haraka kuikabili Ebola
Mwananchi

Mawaziri wa afya wa EAC wakubaliana hatua za haraka kuikabili Ebola

Baraza la mawaziri wa afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) limekubaliana kuoanisha ufuatiliaji wa ugonjwa wa Ebola na hatua za kinga katika viwanja vyote vya ndege, bandari na maeneo yote ya mipakani katika ukanda huo.

Go to News Site