Mwananchi
Miaka ilee ya sabini katikati akina sisi tuliokuwa tumemaliza kidato cha nne na akili zetu hazikutuhusu kwenda kidato cha tano, makampuni na mashirika ya umma na binafsi yalituajiri bila hata barua za kuomba, au kutafuta ajira kwa tochi, kama ilivyo sasa.
Go to News Site