Mwananchi
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Same - Mwanga (Samwasa) kuharakisha uwekaji wa mfumo wa usambazaji wa maji safi na salama katika maeneo yenye changamoto ya upatikanaji wa huduma hiyo, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro.
Go to News Site