Tanzania yatumia Sh23 bilioni kuagiza maziwa nje ya nchi
Mwananchi

Tanzania yatumia Sh23 bilioni kuagiza maziwa nje ya nchi

Wakati Tanzania ikijivunia kuwa na idadi kubwa ya mifugo, bado inalazimika kutumia zaidi ya Sh23 bilioni kila mwaka kuagiza wastani wa lita milioni 11.6 za maziwa kutoka nje ya nchi.

Go to News Site