HabariLeo
DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema TRA itaendelea kuwezesha biashara kwa kampuni kutoka nchini China na kushirikiana nayo katika masuala ya kodi huku akionya kampuni na wafanyabiashara wanaojihusisha na ukwepaji wa kodi. Akizungumza jijini Dar es Salaam Machi 23.2026 wakati wa Mkutano wa Kikodi kwa wafanyabiashara wa … The post TRA yazionya kampuni zinazokwepa kodi first appeared on HabariLeo .
Go to News Site