bongo5.com
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dk. James Mataragio, amesema Serikali haitasita kuchukua hatua kali dhidi ya mfanyabiashara yeyote atakayebainika kuficha mafuta kwa lengo la kuyauza baadaye kwa bei ya juu, akisisitiza kuwa vitendo hivyo havitavumiliwa. Mataragio ametoa kauli hiyo wakati wa ziara ya kutembelea maghala ya kuhifadhia mafuta ya Kampuni …
Go to News Site