TanTrade inaongoza mageuzi sekta ya biadhara nchini kupitia mpango wa CART.IS
bongo5.com

TanTrade inaongoza mageuzi sekta ya biadhara nchini kupitia mpango wa CART.IS

TanTrade inaongoza mageuzi ya sekta ya biashara nchini Tanzania kupitia Mpango wa CART.IS, unaolenga kuimarisha biashara ya kidijitali kwa urahisi na ufanisi zaidi. Kupitia ujumuishaji wa mifumo ya taasisi mbalimbali na matumizi ya taratibu zisizohitaji karatasi, CART.IS inapunguza urasimu, inaokoa muda na gharama, na kurahisisha huduma kwa wafanyabiashara. TanTrade ikiwa ni mdau muhimu wa …

Go to News Site