Kutenganishwa mifumo ya Ukimwi, NCDs kunavyoongeza magonjwa hayo Afrika
Mwananchi

Kutenganishwa mifumo ya Ukimwi, NCDs kunavyoongeza magonjwa hayo Afrika

Watu wanaoishi na VVU wanapokuwa wazee wanakumbwa na magonjwa kama vile ya moyo, saratani, kisukari na magonjwa sugu ya mapafu, ambapo inakadiriwa hadi asilimia 44 ya wanaoishi na VVU pia wana NCD.

Go to News Site