Jaji ahimiza maboresho ya mifumo ya kisheria kuwavutia wanawake sekta ya usuluhishi
Mwananchi

Jaji ahimiza maboresho ya mifumo ya kisheria kuwavutia wanawake sekta ya usuluhishi

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kituo cha Usuluhishi, Zahra Maruma amesema kuboreshwa kwa mifumo ya kisheria na kisera itakayowawezesha wanawake kushiriki kikamilifu katika utatuzi wa migogoro kwa njia mbadala (ADR) kutachangia kujenga jamii yenye misingi imara na ustawi.

Go to News Site