Collector
Giriş Yap
Wawili kortini wakidaiwa kujipatia Sh55 milioni za kiwanja | Collector
Wawili kortini wakidaiwa kujipatia Sh55 milioni za kiwanja

Wawili kortini wakidaiwa kujipatia Sh55 milioni za kiwanja

Mfanyabiashara Emmanuel Simkamba (40) na Mary Simkamba (60) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu shtaka moja la kujipatia Sh55 milioni kwa njia ya udanganyifu.

Go to News Site