Collector
Giriş Yap
Sh991.5 milioni zakopeshwa vikundi vya Wanawake, Kibaha | Collector
Sh991.5 milioni zakopeshwa vikundi vya Wanawake, Kibaha

Sh991.5 milioni zakopeshwa vikundi vya Wanawake, Kibaha

Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani imetoa mikopo yenye thamani ya Sh991.5 milioni kwa vikundi 51 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika jitihada za kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia mapato ya ndani ya halmashauri.

Go to News Site