Watu wawili wafariki dunia ajali baada ya magari kugongana uso kwa uso Daraja la Wami
Watu wawili wamepoteza maisha katika ajali iliyohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso katika eneo la Daraja la Wami, Kata ya Mandela, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.