Serikali kutathimini upya hekta 5,600 Bukombe

Serikali kutathimini upya hekta 5,600 Bukombe

BUKOMBE: SERIKALI imepanga kufanya tathimini mpya ya eneo la hekta 5,693.7 ambalo lilimegwa kutoka hifadhi ya Biharamulo-Kahama na kuwapa wananchi kwa ajili ya shughuli za binadamu ili kukidhi mahitaji yao. Hatua hiyo inakuja kufuatia kuibuka malalamiko mapya kutoka kwa wakazi wa kitongoji cha Idosero kijiji cha Nampalahala wilayani Bukombe wanaodai eneo walilopewa haliendani na mahitaji … The post Serikali kutathimini upya hekta 5,600 Bukombe first appeared on HabariLeo .

Watanzania washauriwa kuiamini CCM

Watanzania washauriwa kuiamini CCM

TANGA: Watanzania wameshauri kuendelea kukiamini Chama cha Mapinduzi (CCM) kutokana na dhamira yake ya kuendeleza kulinda na kiutunza Amani ya nchi. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti CCM Mkoa wa Tanga, Rajab Abdulrahaman wakati wa uzinduzi wa kampeni ngazi ya Mkoa wa Tanga iliyofanyika wilayani Mkinga. Amesema kuwa Rais samia amekuwa akifanya juhudi kubwa ya kuhakikisha anailinda … The post Watanzania washauriwa kuiamini CCM first appeared on HabariLeo .

Wapania kumpeleka Baba Levo bungeni

Wapania kumpeleka Baba Levo bungeni

KIGOMA: NAIBU Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Taifa Kilumbe Ng’enda amesema wamejiandaa kuhakikisha mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM, Clayton Chipando maarufu ‘Baba Levo’ anaingia bungeni katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29 mwaka huu. Ng’enda amesema hayo wakati akizungumza na viongozi na wanachama wa chama hicho mkoani Kigoma alipowasili kwa mapumziko … The post Wapania kumpeleka Baba Levo bungeni first appeared on HabariLeo .

Dar Children envision an epic multi-sports, music gala

Dar Children envision an epic multi-sports, music gala

DAR ES SALAAM: A unique day of multi-sports, music, and dancing is underway to brighten Kijitonyama grounds in Dar es Salaam, involving children aged between 4 and 12, the organisers of the upcoming Kids Faith and Fun Program confirmed today. The event, which is reserved for the school children, is scheduled on September 6th in … The post Dar Children envision an epic multi-sports, music gala first appeared on Daily News .

India committed to improving ties with China, Modi tells Xi before SCO meet

India committed to improving ties with China, Modi tells Xi before SCO meet

CHINA: INDIAN Prime Minister Narendra Modi has told China’s President Xi Jinping that he is committed to improving bilateral ties, indicating a growing closeness to Beijing only five days after the United States slapped steep tariffs on Indian goods. “We are committed to progressing our relations based on mutual respect, trust and sensitivities,” Modi told … The post India committed to improving ties with China, Modi tells Xi before SCO meet first appeared on Daily News .