Future of Tanzania cricket shines with grassroots growth and youth leagues

Future of Tanzania cricket shines with grassroots growth and youth leagues

DAR ES SALAAM: THE future of cricket in Tanzania is looking brighter than ever, thanks to a wave of grassroots initiatives aimed at nurturing young talent and popularising the sport nationwide. One such transformative effort is currently unfolding at Al Muntazir Islamic International School in Dar es Salaam, where a vibrant Under-15 and Under-19 Inter-School … The post Future of Tanzania cricket shines with grassroots growth and youth leagues first appeared on Daily News .

Mahakama yakataa kuhojiwa waliotoa viapo kesi ya Polepole

Mahakama yakataa kuhojiwa waliotoa viapo kesi ya Polepole

Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeyakataa maombi ya mawakili wa wajibu maombi katika shauri la kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kuwaita kizimbani na kuwahoji watu waliokula viapo vilivyoambatanishwa katika hati ya maombi ya shauri hilo, akiwamo wakili wake, Peter Kibatala.

Watu milioni 5 hufariki tezi dume kwa mwaka EAC

Watu milioni 5 hufariki tezi dume kwa mwaka EAC

DAR ES SALAAM: ZAIDI ya wanaume milioni tano hufariki kila mwaka katika ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kutokana na saratani ya tezi dume, huku sababu kubwa ikiwa ni mabadiliko ya umri. Takwimu hizo zimetolewa leo Oktoba 15,2025 na Mkurugenzi wa Hospitali ya Heameda, iliyopo Bunju, Wilaya ya Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam, Dk … The post Watu milioni 5 hufariki tezi dume kwa mwaka EAC first appeared on HabariLeo .

Dalili za uwepo wa gesi asilia zaonekana katika kitalu cha Lindi-Mtwara

Dalili za uwepo wa gesi asilia zaonekana katika kitalu cha Lindi-Mtwara

Utafiti unaoendelea kufanyika katika Kitalu cha Lindi–Mtwara, mkoani Mtwara umeonesha dalili za uwepo wa Gesi Asilia, hususani katika vijiji vya Mnyundo na Mpapura, ambapo visima vya maji vilibainika kuvujisha gesi asilia. Utafiti huo unajumuisha jumla ya vijiji 48 katika eneo la takriban kilomita za mraba 736 ambapo vijiji 40 vinatoka katika Halmashauri ya Wilaya ya …

‘DAR city needs your support tomorrow’

‘DAR city needs your support tomorrow’

DAR ES SALAAM: DEPUTY Minister for Information, Culture, Arts and Sports, Hamis Mwinjuma (Mwana FA), has urged sports fans across the country to turn up in large numbers tomorrow (Friday) to witness the Road to BAL international basketball tournament to be held at the International School of Tanganyika (IST) court in Dar es Salaam. The … The post ‘DAR city needs your support tomorrow’ first appeared on Daily News .