VP inaugurates new heritage museum at Ngorongoro Conservation

VP inaugurates new heritage museum at Ngorongoro Conservation

ARUSHA: THE Tanzanian Vice President, Dr Philip Mpango, has graced the official opening of the new heritage museum at the Ngorongoro-Lengai Conservation Area worth over 32bn/-. The heritage museum located in Karatu, Arusha Region, has been funded by the Chinese government. Speaking during the launch in Arusha, the VP said that environmental protection and climate change … The post VP inaugurates new heritage museum at Ngorongoro Conservation first appeared on Daily News .

Miaka 10 ya TBPL, kilimo, afya mambo safi

Miaka 10 ya TBPL, kilimo, afya mambo safi

PWANI: SERIKALI imesema Kiwanda cha Tanzania Biotech Products Ltd (TBPL) kimekuwa nguzo muhimu katika sekta ya afya na kilimo kwa kuzalisha viuatilifu vya kibaiolojia vinavyotumika kupambana na mb’u waenezao malaria na wadudu waharibifu wa mazao. Akizungumza leo Oktoba 16, 2025 wakati wa uzinduzi wa sherehe za miaka 10 ya kiwanda hicho mkoani Pwani, Katibu Mkuu … The post Miaka 10 ya TBPL, kilimo, afya mambo safi first appeared on HabariLeo .

Tanzania, Venezuela agree to cooperate in trade, investment, tourism.

Tanzania, Venezuela agree to cooperate in trade, investment, tourism.

KAMPALA: THE Deputy Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation, Cosato Chumi, held talks with Venezuela’s Deputy Minister of Foreign Affairs responsible for African Affairs, Yuri Pimentel, on the sidelines of the 19th Non-Aligned Movement (NAM) Ministerial Meeting currently taking place in Kampala, Uganda. During the meeting, the two leaders discussed various ways to … The post Tanzania, Venezuela agree to cooperate in trade, investment, tourism. first appeared on Daily News .

Mwinyi afurahishwa na biashara Darajani

Mwinyi afurahishwa na biashara Darajani

MGOMBEA wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema lengo la Serikali ni kuendelea kuliimarisha eneo la Darajani na kujenga miundombinu zaidi ili wafanyabiashara wapate maeneo mazuri na ya kisasa ya kufanyia biashara. The post Mwinyi afurahishwa na biashara Darajani first appeared on HabariLeo .

Tanzania’s health, agriculture sectors reap fortunes from TBPL products

Tanzania’s health, agriculture sectors reap fortunes from TBPL products

KIBAHA: THE Permanent Secretary in the Ministry of Industry and Trade, Dr Hashil Abdallah, has stated that the Tanzania Biotech Products Ltd (TBPL) factory has become a vital pillar in both the health and agriculture sectors by producing biological insecticides used to fight malaria-carrying mosquitoes and crop-damaging pests. Dr. Abdallah made these remarks today, October … The post Tanzania’s health, agriculture sectors reap fortunes from TBPL products first appeared on Daily News .

Wafanyabiashara wahimizwa kutumia bandari Tanzania

Wafanyabiashara wahimizwa kutumia bandari Tanzania

ZAMBIA: Balozi wa Tanzania nchini Zambia, Luteni Jenerali Mathew Mkingule, amewahimiza wadau na watumiaji wa bandari kuendelea kutumia bandari za Tanzania kama lango kuu la biashara kwa nchi za Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika. Akizungumza jijini Lusaka jana Oktoba 15, 2025 wakati wa ufunguzi wa Jukwaa la Wadau na Watumiaji wa Bandari za … The post Wafanyabiashara wahimizwa kutumia bandari Tanzania first appeared on HabariLeo .

Beatrice Alex: Miss Grand Tanzanian envoy strikes gold in Thailand

Beatrice Alex: Miss Grand Tanzanian envoy strikes gold in Thailand

BANGKOK: TANZANIA’S representative at the ongoing Miss Grand International pageant in Thailand, Miss Beatrice Alex, continues to fly the national flag high after securing third place in the Grand Talk category and 15th place in the Talent segment, where she danced to the popular song “Chambua Kama Karanga” by Tanzanian music legend Saida Karoli. The … The post Beatrice Alex: Miss Grand Tanzanian envoy strikes gold in Thailand first appeared on Daily News .