
‘Mageuzi ya kisheria yahitajika kwenda na kasi ya uwekezaji’
Wadau wakuu wa sheria serikalini wamejadiliana namna kufanya mageuzi ya kisasa katika mifumo ya kisheria inayosimamia uwekezaji katika taasisi za umma.
Wadau wakuu wa sheria serikalini wamejadiliana namna kufanya mageuzi ya kisasa katika mifumo ya kisheria inayosimamia uwekezaji katika taasisi za umma.
Siku takribani nane tangu taarifa za kutoonekana kwa Padre Camilius Nikata wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea zianze kusambaa na kuibua mshtuko, hatimaye Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino Tanzania (SAUT) kampasi kuu ya Mwanza kimetoa taarifa kwa umma kuelezea tukio hilo.
Hatima ya shauri la maombi kuhusu aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, itajulikana Ijumaa ijayo, Oktoba 24, 2025, Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, itakapotoa uamuzi.
Hatima ya shauri la maombi kuhusu aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, itajulikana Ijumaa ijayo, Oktoba 24, 2025, Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, itakapotoa uamuzi.
ARUSHA: THE Tanzanian Vice President, Dr Philip Mpango, has graced the official opening of the new heritage museum at the Ngorongoro-Lengai Conservation Area worth over 32bn/-. The heritage museum located in Karatu, Arusha Region, has been funded by the Chinese government. Speaking during the launch in Arusha, the VP said that environmental protection and climate change … The post VP inaugurates new heritage museum at Ngorongoro Conservation first appeared on Daily News .
Serikali ya Tanzania, Burundi na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi (UNHCR), wanatarajia kufuta hadhi ya ukimbizi kwa wakimbizi wa Burundi waishio katika kambi ya Nyarugusu na Nduta zilizopo mkoani Kigoma ifikapo Juni, 2025.
Serikali ya Tanzania, Burundi na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi (UNHCR), wanatarajia kufuta hadhi ya ukimbizi kwa wakimbizi wa Burundi waishio katika kambi ya Nyarugusu na Nduta zilizopo mkoani Kigoma ifikapo Juni, 2025.
PWANI: SERIKALI imesema Kiwanda cha Tanzania Biotech Products Ltd (TBPL) kimekuwa nguzo muhimu katika sekta ya afya na kilimo kwa kuzalisha viuatilifu vya kibaiolojia vinavyotumika kupambana na mb’u waenezao malaria na wadudu waharibifu wa mazao. Akizungumza leo Oktoba 16, 2025 wakati wa uzinduzi wa sherehe za miaka 10 ya kiwanda hicho mkoani Pwani, Katibu Mkuu … The post Miaka 10 ya TBPL, kilimo, afya mambo safi first appeared on HabariLeo .
KAMPALA: THE Deputy Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation, Cosato Chumi, held talks with Venezuela’s Deputy Minister of Foreign Affairs responsible for African Affairs, Yuri Pimentel, on the sidelines of the 19th Non-Aligned Movement (NAM) Ministerial Meeting currently taking place in Kampala, Uganda. During the meeting, the two leaders discussed various ways to … The post Tanzania, Venezuela agree to cooperate in trade, investment, tourism. first appeared on Daily News .
MGOMBEA wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema lengo la Serikali ni kuendelea kuliimarisha eneo la Darajani na kujenga miundombinu zaidi ili wafanyabiashara wapate maeneo mazuri na ya kisasa ya kufanyia biashara. The post Mwinyi afurahishwa na biashara Darajani first appeared on HabariLeo .
KIBAHA: THE Permanent Secretary in the Ministry of Industry and Trade, Dr Hashil Abdallah, has stated that the Tanzania Biotech Products Ltd (TBPL) factory has become a vital pillar in both the health and agriculture sectors by producing biological insecticides used to fight malaria-carrying mosquitoes and crop-damaging pests. Dr. Abdallah made these remarks today, October … The post Tanzania’s health, agriculture sectors reap fortunes from TBPL products first appeared on Daily News .
ZAMBIA: Balozi wa Tanzania nchini Zambia, Luteni Jenerali Mathew Mkingule, amewahimiza wadau na watumiaji wa bandari kuendelea kutumia bandari za Tanzania kama lango kuu la biashara kwa nchi za Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika. Akizungumza jijini Lusaka jana Oktoba 15, 2025 wakati wa ufunguzi wa Jukwaa la Wadau na Watumiaji wa Bandari za … The post Wafanyabiashara wahimizwa kutumia bandari Tanzania first appeared on HabariLeo .
Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani (WHO) imebaini kuwa moja kati ya maambukizi sita ya bakteria yaliyothibitishwa na maabara duniani mwaka 2023 yalionyesha usugu dhidi ya dawa za antibiotiki.
BANGKOK: TANZANIA’S representative at the ongoing Miss Grand International pageant in Thailand, Miss Beatrice Alex, continues to fly the national flag high after securing third place in the Grand Talk category and 15th place in the Talent segment, where she danced to the popular song “Chambua Kama Karanga” by Tanzanian music legend Saida Karoli. The … The post Beatrice Alex: Miss Grand Tanzanian envoy strikes gold in Thailand first appeared on Daily News .
Wataalamu wa tiba asili na tiba mbadala wametakiwa kuanzisha kamati ya maadili ili kudhibiti waganga wasiosajiliwa ambao wamekuwa wakichafua taswira yao katika jamii na mauaji yatokanayo na ramli chonganishi.
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kujenga jengo kubwa la kisasa la Machinga Complex mjini Bukoba, mkoani Kagera, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya serikali yake ya kuwainua kiuchumi wafanyabiashara wadogo maarufu Machinga.