Mahakama yakataa ombi la kusitisha mazishi ya Raila Odinga – familia yapata ruhusa kuendelea

Mahakama yakataa ombi la kusitisha mazishi ya Raila Odinga – familia yapata ruhusa kuendelea

Mahakama Kuu nchini Kenya imekataa ombi lililowasilishwa na kundi la watu waliotaka kusitishwa kwa muda kwa mazishi ya Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga, wakidai kuwepo kwa sababu maalum zinazohitaji uchunguzi zaidi kabla ya shughuli hiyo kufanyika. Jaji aliyesikiliza kesi hiyo amesema kuwa mahakama haiwezi kutoa amri ya muda (Conservatory Order) kwa msingi wa […]

EU, UNCDF power Tanzania’s clean cooking revolution

EU, UNCDF power Tanzania’s clean cooking revolution

DAR ES SALAAM: TANZANIA’S quest to achieve clean cooking for all has received a major boost after the United Nations Capital Development Fund (UNCDF), through its European Union (EU)-funded CookFund Programme, handed over  emission analyzer to the Tanzania Bureau of Standards (TBS). The facility, handed over in Dar es Salaam on yesterday, is expected to … The post EU, UNCDF power Tanzania’s clean cooking revolution first appeared on Daily News .

Mambo Wasiyopenda Wanaume Kwa Wanawake

Mambo Wasiyopenda Wanaume Kwa Wanawake

KUPITIA safu hii nimekuwa nikipata malalamiko mengi kutoka kwa wanawake. Kilio chao kikubwa ni kukimbiwa na wanaume au kuachwa. Leo anakuwa na mwanaume huyu, baada ya muda mfupi kunatokea chokochoko, mwanaume anatimka zake. Jamaa anamkimbia na kwenda kuanzisha uhusiano mwingine. Baada ya kukimbiwa, mwanamke hakati tamaa. Anaanzisha uhusiano mwingine, ndani ya muda mfupi tu, anaambulia […]

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali Yapanga Mageuzi Makubwa Sekta ya Kilimo

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali Yapanga Mageuzi Makubwa Sekta ya Kilimo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imedhamiria kuendelea kufanya mageuzi katika sekta ya kilimo ili kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa kitovu cha uzalishaji wa chakula katika ukanda wa Afrika Mashariki. Amesema lengo la Serikali ni kuendelea kuimarisha usalama wa chakula, kupunguza utapiamlo na kuijenga Tanzania yenye wananchi wenye afya bora, nguvu kazi imara na uchumi […]