
Kinachosubiriwa kuhusu hatima ya 'kutekwa' Polepole
Hatima ya shauri la maombi kuhusu aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, itajulikana Ijumaa ijayo, Oktoba 24, 2025, Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, itakapotoa uamuzi.